Tarehe 7, Februari 2024 vijana wawili waliokuwa wakiishi na kufanya kazi mitaani waliondolewa katika Njiro Sober House, jijini Arusha.Vijana hao katika Sober House. Kutoka kushoto kwenda kulia: Hamisi, Rashidi, Kais, Mathayo na Stanley.
Habari
UCS 2023/24: miezi minne tangu walipoingia Tanzania
Imeshapita miezi minne, tangu Mradi wa UCS ulianza. Mradi unalenga kuwaunganisha watoto na familia zao. Hapa chini UCS wametoa mawazo yao kuhusu uwepo wao katika kipindi hiki.
MRADI WA WISE: 8×1000 Kanisa la Waldesian
Mradi wa WISE unalenga kuboresha uwezo wa shirika kuendelea kutekeleza shughuli zinazoruhusu watoto wenye umri kuanzia miaka 4 mpaka 14, wanaoishi katika makazi ya muda mfupi ya Shukurani, au wale wanaoenda katika kituo cha mapokezi cha mchana (drop-in centre), kurudishwa katika makazi yao na baadae kuishi na familia zao baada ya kuunda mazingira salama kwa ajili yao.
AFRIKA NA MAZINGIRA: Pambano kubwa dhidi ya plastiki!
Uchafuzi wa mazingira na plastiki ni mojawapo ya maafa makubwa zaidi ya mazingira kwanzia mwaka 2000: tuone jinsi bara la Afrika linavyopambana nalo.
‘ANAJULIKANA KAMA MANKA’ mwenye hamu ya mafanikio
Manka ni mama ambaye ameshapitia katika mazingira magumu, ila hakukata tamaa. Baada ya kukutana na Shirika la KISEDET, aliweza kuinuka na kuanza maisha mapya pamoja na mtoto wake.
8×1000 ya Kanisa la Waldensia: taarifa za kazi
Mradi huu unahusisha ujenzi wa majengo miwili ya ufugaji wa kuku na uboreshaji wa mfumo wa umwagiliaji kwa kutumia maji kidogo (mfumo wa matone) katika kituo cha mapokezi kwa watoto wa mitaani cha Chigongwe Family.
UCS (Universal Civil Services): Davide, Agnese, Elisa, Simone wawasili Dodoma
Safari mpya ya SCU kuanza!
Nyumba ya wasichana katika makao ya muda mrefu Chigongwe
Kufuatia ushirikiano wenye matunda ambao umeendelea tangu 2015, tulifanya ombi lingine kwa Agata Smeralda na kwa mara nyingine tena wamekubali kutusaidia.
Utalii Wajibikaji
Kwa barua pepe hii tungependa kuwashukuru kwa safari yetu na pia kukupa maoni juu ya uzoefu wetu.